Jamaa mmoja alikamatwa na trafiki baada ya kuonwa akiendesha gari akiwa amelewa na maongezi yao yalikuwa hivi;
TRAFIKI: We! mbona unakunywa pombe wakati unaendesha gari?
DEREVA: Hapana hii sio pombe ni maji.
TRAFIKI:Embu lete niyaonje.Mhh! hii si pombe, tena Konyagi!!
DEREVA:Oh! bwana ametenda tena muujiza kama ule wa sherehe ya harusi Bethlehemu wa kugeuza maji kuwa Divai.Teh Teh!
No comments:
Post a Comment
Comment here::