MCHAGA NA BIA>....NOMAAAAAA

Kuna chaga mmoja alikuwa anapita mitaa ya shauri moyo kwa bahati mbaya alipofika mbele ya geti la TBL akadondoka.. wasamaria wema wakamwinua wakasema apewe maji mchaga akajibu ningetaka maji si ningenda kuanguka Dawasco...

No comments:

Post a Comment

Comment here::

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...