Jamaa kaingia shopu, kanunua sigara, kaiwasha akaanza kuikwesa(kuivuta)
pale pale. Shopukipa kumuona akapaniki akamfuata; Oyaa, samahani,
haturuhusu watu kuvuta fegi hapa. Jamaa akamjibu: hii kitu si nimenunua
hapa hapa, wewe si ndo umeniuzia?! Shopukipa akamjibu: Sawa, lakini hata
kondomu huwa nakuuziaga we bwege, kwani huwa unaanzia zile fujo zake
hapa hapa?!
No comments:
Post a Comment
Comment here::