Gelofrendi: Nisamehe mpenzi wangu, nimekosa uaminifu.
Boifurendi: Khaa, wewe ulizani nakupenda? Hata mimi nilikuwa natoka nje, so kama vipi chapa zako mwendo, ninao wa kutosha, demu utakuwa wewe bhana?!
Gelofurendi: Wati? Mimi namaanisha kwenye mitihani! Nilipiga chabo! Kuuumbe!
Funzo: Usitie neno kabla mtu hajamaliza habari kamili mwanawane!
Boifurendi: Khaa, wewe ulizani nakupenda? Hata mimi nilikuwa natoka nje, so kama vipi chapa zako mwendo, ninao wa kutosha, demu utakuwa wewe bhana?!
Gelofurendi: Wati? Mimi namaanisha kwenye mitihani! Nilipiga chabo! Kuuumbe!
Funzo: Usitie neno kabla mtu hajamaliza habari kamili mwanawane!
No comments:
Post a Comment
Comment here::