Mchungaji flani baada ya kumaliza sala akawambia waumini wafumbe macho ili waombe. Walipofumba macho wote mchungaji akaingiza mkono kwenye sanduku la sadaka na kuiba pesa....ile anatoa tu mkono akakutana uso kwa uso na mzee aliyekuwa anaingia kanisani. Mchungaji akasema: "Amebarikiwa mtu yule anayeshuhudia kwa macho yake yale wafanyayo wanadamu lakini akabaki kimya asinene lolote aliloona mbele za watu."
Mzee akamalizia: "Kwa sababu anajua fika atapata malipo yake baada ya ibada, na kama utata utatokea basi atakisanua!"

No comments:

Post a Comment

Comment here::

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...