MPISHI WA UGALI

HII IMETOKA KWA MASANJA MKANDAMIZAJI.
Kuna jamaa flani homu kwake yeye ndo alikuwa mtaalamu wa kupika ugali, basi dei moja wakapata wageni, wageni wakasema wanaomba wasongewe ugali mwanawani. Waifu akazama jikoni kuchemsha maji, alipomaliza akamuita jamaa: Baba watoto maji tayari. Jamaa kuona hivyo akaona wageni watamchukulia mume bwege anaenda kusonga ugali. Unajua alisemaje mwanawani? : Yapeleke bafuni mke wangu.

No comments:

Post a Comment

Comment here::

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...