Siku mmoja Baba alimuuliza mwanae swali na maongezi yao yalikuwa hivi....
BABA:nikikupiga huwa hasira zako unamalizia wapi?
DOGO: Namalizia chooni
BABA: Huko chooni unamalizia vipi?
DOGO:Huwa nasafisha tundu la
choo kwa kutumia mswaki wako unaotumia kila siku!
Ehh! ungekuwa wewe ungefanyaje?
No comments:
Post a Comment
Comment here::