NJAA MBAYA!

Jamaa moja baada ya kutoka kijijini akadai alikuwa New york.
Siku moja wenzie kijiweni wakawa wanamuhoji kuhusu lile jengo refu kuliko yote duniani.
Jamaa: lile jengo nilipanda mpaka gorofa ya mwisho,cku hiyo alitokea mzee moja akawa anatembea huku anachechemea na bakora yake.
Washkaji: eehe ikawaje
Jamaa: aliteleza mazee kutokea gorofa ya mwisho hadi chini
washkaji: si alikufa!!?
Jamaa: asife vp siku tatu hewani bila kula

No comments:

Post a Comment

Comment here::

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...