Jamaa
amekaa na mzungu kwenye banda la mihogo ya kukaanga wakiwa wanakula
ghafla jamaa muhogo ukamkwama na maji anayo yule mzungu, weeee hapo
sasa..!! Jamaa akaanza ''ZE.. ZEE.. CASAVA IZ STANDING AT ZEKOLOMEO
WATER PULIZI!!! Mzungu akamuangalia kisha akamwambia; ''UTAKUFA MDOGO WANGU
WE SEMA TUU UNATAKA MAJI, MI MSWAHILI WA SINZA MORI, NGOZI ISIKUZUZUE."
No comments:
Post a Comment
Comment here::