VIBWEKA
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake akamposee msichana
fulani. Baba yake akamwambia tafuta kwingine yule ni dada yako ila mama yako
hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni
dada yako ila mama yako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamaindi kinoma
akamwambia mama yake, mama yake akamwambia kaoe yoyote kati yao yeye
huyo si baba yako ila ye hajui.Duh!!
No comments:
Post a Comment
Comment here::